Jumatano, 10 Februari 2016

Machalii wa Yesu kutokea Arusha wamejipanga kuachia wimbo wao mpya unaokwenda kwa jina la Yesu anakupenda ambao uko kwenye mahadhi ya HipHop na umefanywa na vichwa takribani nane vya muziki huo.

Wimbo huo ambao umefanyika chini ya producer Sam Timber kutoka Fnouk studios unatarajiwa kuachiwa siku ya Valentine,tarehe 14/02/2016.

Katika kuelekea kwenye siku ya kuachiliwa kwa wimbo huo, Machalii wa Yesu wanakuletea Yesu anakupenda Challenge ambapo mashabiki na wadau watapewa nafasi ya kuotea hao watu wanane walioshiriki kwenye wimbo huo kwa kuwatambua kutokana na wasifu wa kila mmoja utakaokuwa ukitolewa kwenye ukurasa wa facebook wa Machalii wa Yesu.
 Machalii wamejipanga kuwapongeza watu wa kwanza kuweza kuotea watu hao.

Ungependa kushiriki?Tembelea ukarasa wao wa facebook ambao ni Machalii wa Yesu kisha fuata maelekezo 

0 maoni:

Chapisha Maoni

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Inaendeshwa na Blogger.

Sample text

Random Posts

Social Icons

Followers

Featured Posts

Fashion

Technology

Fashion

Find Us On Facebook

Translate

Editors Picks

Events

Video

Popular Posts

Most Popular

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget