Jumatano, 10 Februari 2016
11:28
YES STUDIO
No comments
Wakali wa muziki wa injili, Bi. Christina Shusho na Mireille Basirwa wa (Belgium) wamekutana kenya kwa ajili ya kutengeneza wimbo mpya kwenye studio za Produce Timothy Boikwa. Kwa sasa wako Location wakifanya Video ya Kolabo hiyo na Director Tiger.
Tazama picha za utengenezaji wa video hiyo hapo chini.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni