All the way from 254 (Kenya), Mr. Seed pamoja Pitson wametusogezea video hii hapa inaitwa "Happy Day". Enjoy!
Jumamosi, 26 Machi 2016
14:50
YES STUDIO
No comments
Tazama video mpya "What God Can Do" all the way from 254 (Kenya) ya kwake Mercy Masika And Liz Gathoni.
14:46
YES STUDIO
No comments
Barikiwa na video mpya WATAWALA kutoka kwa mwanamuziki wa nyimbo za Injili Tanzania FRIDA FELIX. Enjoy!
Jumatatu, 14 Machi 2016
Alhamisi, 10 Machi 2016
03:47
YES STUDIO
No comments
Mtangazaji
mahiri wa kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM Millard Ayo baada ya
kufungua studio yake kubwa naya kisasa jijini Dar, ameanza kuuza
vipindi vya burudani katika radio mbalimbali za Afrika Mashariki.
Akizungumza Jumamosi hii katika mdahalo wa kuwatia moyo wanafunzi waliofeli kidato cha nne, ambao ulienda sambamba na uzinduzi wa video mpya ya Mrisho Mpoto, Millard alieleza mafanikio yake baada ya kupambana kwa muda mrefu.
“Nilijiuliza kwanini nisitumie uandishi wangu wa habari ili kusambaza habari Afrika?, ndipo nikaanza kujinyima ili nijenge studio yangu kwa pesa yangu mpaka imekamilika. Sasa hivi tayari nimeshaanza kuuza vipindi vyangu katika radio mbalimbali za Afrika, Kenya, Rwanda.
Pia nimekuwa reporter wa radio mbalimbali za Afrika Mashariki, pia Nigeria kuna kazi maalum nimepata ambayo nimehifurahia sana,” alisema Millard.
Pia Millard Ayo alisema yeye ni miongoni mwa wanafunzi ambao walifeli kidato cha nne lakini aliinuka na kuendelea.
Akizungumza Jumamosi hii katika mdahalo wa kuwatia moyo wanafunzi waliofeli kidato cha nne, ambao ulienda sambamba na uzinduzi wa video mpya ya Mrisho Mpoto, Millard alieleza mafanikio yake baada ya kupambana kwa muda mrefu.
“Nilijiuliza kwanini nisitumie uandishi wangu wa habari ili kusambaza habari Afrika?, ndipo nikaanza kujinyima ili nijenge studio yangu kwa pesa yangu mpaka imekamilika. Sasa hivi tayari nimeshaanza kuuza vipindi vyangu katika radio mbalimbali za Afrika, Kenya, Rwanda.
Pia nimekuwa reporter wa radio mbalimbali za Afrika Mashariki, pia Nigeria kuna kazi maalum nimepata ambayo nimehifurahia sana,” alisema Millard.
Pia Millard Ayo alisema yeye ni miongoni mwa wanafunzi ambao walifeli kidato cha nne lakini aliinuka na kuendelea.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)