Jumatano, 10 Februari 2016

Download wimbo toka kwa janet otieno na christina shusho "Napokea Kwako"

Lyrics

Maisha magumu sana nimepitia 
Nikajaribu kutafuta msaada sikupata 
Nikaendea wanadamu mwisho wakanidharaume) 
Kumbe msaada wa mwanadamu unatoka kwa Mungu 
Nilijua ya kuwa wenye haki ya kubarikiwa\ 
Kumbe baraka ni haki ya kila mmoja 
Nibebadili wazo langu namwelekea Mungu 
Kwake msaada wangu unapatikana 
Msaada wa mwanadamu ni wa muda mfupi 
Nami zamu yangu wa kubarikiwa ee 

Chorus: 
Wakati huu wa kubarikiwa 
Zamu ni yangu, sasa kupokea(\ 
Nimechoshwa, na shida za dunia 
Napokea kwako, Ee Bwana kwako x2 
Napokea kwako, Yesu napokea kwako 
Napokea kwako, Baba napokea kwako 

Nimeamua kwenda zaidi na zaidi 
Nimejipanga hadi nione matunda yake 
Yale Mungu amewekeza ndani yangu 
Najua Mungu yuko kazini kunikamilisha 
Akisema nimebarikiwa, nimebarikiwa tu 
Hata ukipinga wewe leo mimi nimebarikiwa tu 
Mlima gani kuu sana usioung’oa? 
Jaribu gani gumu sana usiloliweza? 
Chozi gani zito kwako usilolifuta? 
Ombi gani kubwa sana usilolijibu? 

(Chorus)
 


0 maoni:

Chapisha Maoni

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Inaendeshwa na Blogger.

Sample text

Random Posts

Social Icons

Followers

Featured Posts

Fashion

Technology

Fashion

Find Us On Facebook

Translate

Editors Picks

Events

Video

Popular Posts

Most Popular

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget