Download wimbo toka kwa janet otieno na christina shusho "Napokea Kwako"
Lyrics
Maisha magumu sana nimepitia
Nikajaribu kutafuta msaada sikupata
Nikaendea wanadamu mwisho wakanidharaume)
Kumbe msaada wa mwanadamu unatoka kwa Mungu
Nilijua ya kuwa wenye haki ya kubarikiwa\
Kumbe baraka ni haki ya kila mmoja
Nibebadili wazo langu namwelekea Mungu
Kwake msaada wangu unapatikana
Msaada wa mwanadamu ni wa muda mfupi
Nami zamu yangu wa kubarikiwa ee
Nikajaribu kutafuta msaada sikupata
Nikaendea wanadamu mwisho wakanidharaume)
Kumbe msaada wa mwanadamu unatoka kwa Mungu
Nilijua ya kuwa wenye haki ya kubarikiwa\
Kumbe baraka ni haki ya kila mmoja
Nibebadili wazo langu namwelekea Mungu
Kwake msaada wangu unapatikana
Msaada wa mwanadamu ni wa muda mfupi
Nami zamu yangu wa kubarikiwa ee
Chorus:
Wakati huu wa kubarikiwa
Zamu ni yangu, sasa kupokea(\
Nimechoshwa, na shida za dunia
Napokea kwako, Ee Bwana kwako x2
Napokea kwako, Yesu napokea kwako
Napokea kwako, Baba napokea kwako
Nimeamua kwenda zaidi na zaidi
Nimejipanga hadi nione matunda yake
Yale Mungu amewekeza ndani yangu
Najua Mungu yuko kazini kunikamilisha
Akisema nimebarikiwa, nimebarikiwa tu
Hata ukipinga wewe leo mimi nimebarikiwa tu
Mlima gani kuu sana usioung’oa?
Jaribu gani gumu sana usiloliweza?
Chozi gani zito kwako usilolifuta?
Ombi gani kubwa sana usilolijibu?
(Chorus)
Wakati huu wa kubarikiwa
Zamu ni yangu, sasa kupokea(\
Nimechoshwa, na shida za dunia
Napokea kwako, Ee Bwana kwako x2
Napokea kwako, Yesu napokea kwako
Napokea kwako, Baba napokea kwako
Nimeamua kwenda zaidi na zaidi
Nimejipanga hadi nione matunda yake
Yale Mungu amewekeza ndani yangu
Najua Mungu yuko kazini kunikamilisha
Akisema nimebarikiwa, nimebarikiwa tu
Hata ukipinga wewe leo mimi nimebarikiwa tu
Mlima gani kuu sana usioung’oa?
Jaribu gani gumu sana usiloliweza?
Chozi gani zito kwako usilolifuta?
Ombi gani kubwa sana usilolijibu?
(Chorus)
0 maoni:
Chapisha Maoni