Jumanne, 16 Februari 2016

Ukiacha mashamba, nyumba, magari, Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji amezindua Mgahawa wake wa Kisasa unaoitwa "Masanja Wali Nyama" Maeneo Ya Tabata Magengeni Karibu na CRDB BANK. 

Shughuli hiyo iliyo anza saa mbili usiku na kumalizika saa tano usiku, ilipambwa na waimbaji mbalimbali wa muziki wa Gospel akiwemo Miriam Jackson, Emmanuel Mbasha, Faraja Ntaboba, Mc Makondeko, Stella Joel pamoja na Wachungaji, Mitume na Manabii. 

Twende sawa na matukio ya Picha hapa chini.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Unordered List

Sample Text

Blog Archive

Inaendeshwa na Blogger.

Sample text

Random Posts

Social Icons

Followers

Featured Posts

Fashion

Technology

Fashion

Find Us On Facebook

Translate

Editors Picks

Events

Video

Popular Posts

Most Popular

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget